Sunday, March 26, 2017

BASATA WAMEZUNGUMZIA WIMBO WA NAY WA MITEGO

BASATA Wamezungumzia Wimbo wa Nay Wa Mitego

Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili.


No comments:

Post a Comment