April 25, 2016 Diamond anaandaa reality TV show yake, P square ndani (+Audio) Newsroom TZA Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 25 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na Stori ambayo imepata airtime ni hii ya P square kushoot video na Diamond Platinumz. Wasanii wakubwa Afrika ambao wanaunda kundi la P square wameonekana kwenye reality show ya Diamond Platinumz wakiwa location South Africa kwa ajili ya kushoot ngoma mpya na hii ni kauli ya Diamond Platimuz…… >>> ‘hiki sio kireality show ni reality show na sio bora reality bali ni reality bora mimi mwenyewe nilitaka nifanyage siku nyingi lakini nilikuwa nataka kuwe na production kuwe na vifaa bora,,,, hayo ni maneno ya diamond platnumz
No comments:
Post a Comment