Thursday, April 28, 2016

FACEBOOK SASA INA ZAIDI YA WATUMIAJI BILLIONI 1.65 DUNIANI

Mtandao wa kijamii wa Facebook sasa una watumiaji zaidi bilioni 1.65 duniani kote. Kati ya watumiaji hao, bilioni moja wanautumia kwa simu.

“Tumekuwa na mwanzo mzuri kwenye mwaka,” CEO na mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg alisema.

“Kwa sasa tuna zaidi ya watumiaji bilioni 1.65 na zaidi ya watumiaji bilioni moja kila siku kwenye simu.” Katika kipindi cha mwaka mmoja mtandao huo umeingiza mapato ya dola bilioni 1.51.

No comments:

Post a Comment