Spika wa Bunge, Job Ndugai Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameagiza mikutano yote ya Kamati za Bunge itakayoanza Agosti 22 mpaka Septemba 4 mwaka huu ifanyikie mjini Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Spika Ndugai ameeleza kuwa Bunge ni muhimili ambao tayari ulishatekeleza kwa vitendo kuhamia Dodoma.
No comments:
Post a Comment