Saturday, July 30, 2016

SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AHAMISHIA KAMATI DODOMA

    Spika wa Bunge, Job Ndugai  Dar es Salaam.

     Spika wa Bunge, Job Ndugai ameagiza mikutano yote ya Kamati za Bunge itakayoanza Agosti 22 mpaka Septemba 4 mwaka huu ifanyikie mjini Dodoma.

     Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Spika Ndugai ameeleza kuwa Bunge ni muhimili ambao tayari ulishatekeleza kwa vitendo kuhamia Dodoma.

No comments:

Post a Comment