Draw ya kupanga makundi mawili ya timu zitakazo chuana kuwania kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho Afrika imekamilika na kila timu imeshajua itachuana na klabu gani katika hatua hiyo ya nane bora.
Mabingwa wa Tanzania bara klabu ya Yanga imepangwa Group A ambapo itachuana na TP Mazembe (Congo DR), MO Bejaia (Ageria) na Medeama (Ghana).
No comments:
Post a Comment