Rais Reccep Tayip Erdogan Rais wa Uturuki Reccep Tayyip Erdogan amewataka Waislamu kukataa kutumia vifaa vya upangaji uzazi kwa lengo la kupata watoto wengi.
Katika taarifa iliorushwa hewani kupitia runinga za taifa hilo,bw Erdogan amesema kuwa hakuna familia ya Kiislamu inayopaswa kupanga uzazi na kwamba ni muhimu kupata watotozaidi.
Makundi ya wanawake yamekuwa yakimkosoa kiongozi huyo wa Uturuki kwa kufananisha upangaji uzazi na uhaini,huku huku akipinga wto wa usawa wa kijinsia.
No comments:
Post a Comment