Tuesday, May 3, 2016

ZIJUE FAIDA ZA APPLE, NDIZI MBIVU , KAROTI, KABICHI, KAHAWA NA VYAKULA VYA NAFAKA

APPLE (Tufaha) • Dawa nzuri ya ugonjwa wa moyo •

Hushusha kolestro • Hushusha shinikizo la damu •

Huimarisha kiwango cha sukari katika damu •

Huongeza hamu ya kula • Linakemikali yenye uwezo wa kuzuia saratani •

Juisi yake inaua virusi vinavyoambukiza magonjwa BANANA (NDIZI MBIVU) •

Huzuia na kutibu vidonda vya tumbo •

Hushusha kolestrol katika damu BEANS (MAHARAGE YA AINA ZOTE) •

Hupunguza aina mbaya ya mafuta mwilini •

Hudhibiti kemikali mbaya za saratani •

Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu •
Hushusha shinikizo la damu •

Hurekebisha mwenendo wa utumbo mkubwa •
Huzuia na kutibu ukosefu wa choo •

Huzuia kutokwa damu kwenye haja kubwa (haemorrhoids) na matatizo mengine ya tumbo CABBAGE (KABICHI) •

Hupunguza hatari ya kupata saratani, hasa ya utumbo •

Huzuia na kutibu vidonda vya tumbo (hasa juisi yake) •

Huchangamsha mfumo wa kinga ya mwili •

Huua bakteria na virusi mwilini • Huharakisha ukuaji wa mwili CARROT (KAROTI) •

Inaaminika kuzuia saratani, hasa zitokanazo na uvutaji sigara, ikiwemo saratani ya mapafu. •

Hushusha kolestro katika damu • Huzuia ukosefu wa choo (Constipation) COFFEE (KAHAWA) •

Kahawa si kinywaji cha mtu kupendasana kutumia, lakini kinapotumiwa kwa kiasi kidogo na kwa tahadhari, kina faida zake: •

Huboresha utendaji kazi wa ubongo • Hutoa ahueni kwa wagonjwa wa asma (asthma) •

Hutoa ahueni kwa wenye homa • Huongeza nishati ya mwili •

Huzuia meno kuoza •

Ina kemikali ambayo huzuia saratani kwa wanyama •

Hutoa uchangamfu CORN (NAFAKA- MAHINDI, MCHELE, N.K) • Zina aina fulani ya kemikali ambazo huzuia saratani •

Hupunguza hatari ya kupatwa na aina fulani za saratani, magonjwa ya moyo na kuoza kwa meno •

Mafuta yake hushusha kolestro mbaya mwilini

No comments:

Post a Comment